Young Dee amefanya wimbo huu maalum kwa ajili ya marehemu Albert Mangwea aka Cowbama aka Cowizzy aka MIMI aliyefariki siku kama ya leo 28th MAY miaka miwili iliyopita
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment