Posts

Showing posts from October, 2016

Mwanamziki Wa Injili Kutoka Mombasa Anusurika Kifo

Image
Mwanamziki wa kike wa Injili kutoka Pwani ambaye kwa sasa anawania tuzo mbili, ikiwemo Teenz Female Artiste Of The Year katika tuzo za Xtreem Awards na Female Gospel Artiste, Pwani Celebrity Awards2016, Sharon Shally nusura auwawe siku ya Jumamosi. Sharon ambaye alikua ametoka kazini maeneo ya Nyali alipatwa na mkasa huo katika eneo la Kengeleni/Lights takriban saa moja unusu usiku.  Akingojea usafiri, Sharon alishtuka amebwagwa chini na amezungukwa na wanaume wanne ambao walikua wameshikilia mapanga na kumwambia akijaribu kusumbu tu huo ndio utakua mwisho wake. Uoga uliokua umemuingia ulimfanya asijue chakufanya ila tu kubaki akimuomba Mungu amuepushe kutoka mikononi mwa majambazi hao. 'Wangeweza kunifanya chochote kwa kua sikua na usaidizi wowote, ila nashkuru Mungu ni mkubwa. Walinipora kibeti, simu, pesa na stakabadhi zangu zilizokuwa katika kibeti hicho.' Ameeleza mwimbajihuyoambaye anasema hajawahi kupitia tukio la kuogofya katika ma

'KARIBU MOMBASANI' Yapokelewa Kwa Kishindo

Image
  Hatimaye msanii Benso ameachia ile track ambayo ameitengeneza kwa ajili ya kusifu mji wa Mombasa. Track hio ambayo amewashirikisha Kigoto na GeeGee na imetayarishwa na Producer BeatsBoy pamoja na Producer Shirko . Ni track kali sana ambayo amesifia uzuri wa mandhari ya Mombasa na raha zilizopo Mombasa . Baada ya kuiachia rasmi tu track hio, ndani ya masaa mawili downloads za wimbo huozilikua zimefika zaidi ya elfu moja. Ishara nzuri sana yakufanya vizuri kwa wimbo huo kwani  hua ni nadra sana video/wimbo kutoka pwani ya Kenya kupata download/views zaidi ya 2000 katika siku ya kwanza. Kufanya vizuri kwa track hio bado kumepatwa na pigo kwani kuna 'wajanja' wa mitandaoni ambao wameamua hawatakaa wakitazama mafanikio ya wimbo huo na wakafanya 'ujanja' wao na kuingia katika website ya msanii ( www.ngomakenya.co.ke ) huyo na kuufuta wimbo huo.   Tukienda hewani, mafundi walikua wanashuhulikia kudhibiti website hio kwa kuongeza security ya website hio

Sis P Aongelea Kuhusu Picha Za Nusu Uchi Anazoziweka Mitandaoni

Image
Baada ya kuachia picha tata na kuzua gumzo siku ya 'no bra day' ,msanii Sis P amefunguka na kusema kuwa picha hiyo ilikua na kigezo kikubwa cha kuhamasisha umma kuhusu saratani ya matiti. Picha hiyo sio ya kwanza maana katika siku za nyuma msanii huyu amekua akiach ilia picha tata kilele kikiwa ni video yake na dazlah iliyozua gumzo na kashfa nyingi kutoka kwa wadau na mashabiki wa mziki. Kulingana na Sis P ni kwamba yeye hajifungi anaishi maisha yae na kamwe hatawahi kuwa mnafiki katika maisha yake na ataendelea kufanya kile anachojiskia kufanya. ''....am just being me i dont plan controvercies,am that person ambaye sijifungi,if i have a feeling i will just express it..kwenye social media hakuna under18 na kama mtu anaona kitu ni kibaya basi hii society ya sasa hakuna kudanganyana na hakuna kitu kipya kwa sababu kila kitu kishafanywa na mimi si mwalimu sifundishi watu, anayetaka kufundishwa aende shule" Msanii huyo ambaye am

Susumila Hawajibikii Mtoto Vilivyo Ndio Maana Nimemshtaki-Kibibi Afunguka

Image
    Baada ya kuachana na msanii Susumila , Muigizaji Kibibi Salim ameweka wazi sababu maalum iliyosababisha hadi wawili hao wakaachana. Kulingana na Kibibi, ni kwamba matatizo katika ndoa yao yalianza kitambo saana yakakithiri hadi kufikia kiwango cha kut oweza kuvumilana tena.   ''Tulikosa kuvumiliana mimi na yeye ndio maana hii kitu haiku work,ila angenivumilia na mimi nikamvumilia basi tungeishi pamoja hadi miaka hamsini hadi sitini''. Kibibi amesema huku akieleza ya kwamba Susumila hawajibiki vilivyo kama baba ndio maana akampeleka kortini huku akidai ya kwamba lazima Susumila awajibikie watoto wake inavyotakikana. Msikilize akizungumzia sababu za kutalakiana na Susumila , sababu za kumshtaki, uhusiano wake na Ruth (mpenzi wa zamani wa Susumila) , na akieleza kama ni kweli wameungana na Ruth kumshtaki Susumila ...Na Je Susumila arekebishe nini ndio warudiane? skiliza >> HAPA

Susumila Aachia Video Ya Watu Wazima Pekee

Image
Susumila kaka Mr. newsmaker , jamaa ambaye kila uchao hakosi jipya la kuongelewa, kama si madai ya uchawi basi ni kuoa kwa ghafla, kama si kutalakiana basi nikupelekwa kortini na exwife. Baada ya kufanya bonge la collabo na mrembo kutoka kaunti ya Kidero, Avril aliachia solo project yake ya NGOMA IMEZIMA, track ambayo aliiandaa kwa Producer Totti lakini idea yenyewe aliinunua kwa msanii Bizzy Key kwa Kshs,50,000 n a video yenyewe imetayarishwa na Ricky Bekko wa BigDreams Media. Tofauti na video zake za awali , video hii nitofauti kabisa kwani imelengwa watu wazima pekee,waliozaidi ya miaka18...si jinsi wanenguaji walivyo vaa tu bali hata wanavyojiachia..kama wewe ni mtoto basi kaa mbali na video hii kwani huenda ukapofuka, lakini kama umri unakuruhusu basi itazame hapa chini....

Kaa La Moto Amjia Juu Gates Mgenge Hadharani

Image
 Msanii mkali wa hiphop, jamaa ambaye vilevile yuko kwenye team ya Karate ya Kenya na ana bleckbelt amemjia Juu presenter wa Pilipili FM wa kipindi cha MwakeMwakeLive, Gates Mgenge . Kaa La Moto ambaye ame,upload picha ya Gates akiwa jukwaani ameshikilia kipaza sauti huku ametinga tshirt nyeusi iliyoandikwa ALLAH AKBAR , ameandika na kumwambia mtangazaji huyo ya kwamba hio ndio tshirt kali ambayo ashawahi kuivaa , imebeba ujumbe mzuri, ALLAH AKBAR ambayo inamaanisha ya kwamba Mungu ni mkubwa ila akamkanya asithubutu kuingia nayo club au eneo lolote la anasa labda iwapo tu atakua ameziba maandishi hayo. Nikauliambayo Gates ame,comment akijaribu kupingana na Kaa lakini mashabiki hawakumpa nafasi kwani wengi walionyesha kumuunga mkono Kaa La Moto . Wengi waliomuunga mkono msanii huyo wamedai ya kwamba sisawa kuingia na nguo hio katika eneo lolote la anas

NEW MUSIC: Shield Feat Lungoz-MAUMIVU

Image
Lungoz Hapa Pwani kuna chipukizi wengi wanajifua kufanya mziki mzuri, nakujifua kwa nguvu angalau watoke na waskike mpaka sanaa nayo ije iwalipe. Shield ni mmoja ya wasanii ambao wanachipuka na amekua kwenye sanaa kwa kiasi cha haja. Chini ya uangalizi wa Producer Emmy Dee amewahi kufanya track kadhaa ila hajabahatika kupenya vizuri. Shield Hii mpya ameshirikiana na Lungoz ambaye ndio kwanza anaanza. Ni kazi iliyotayarishwa na Producer mkali kutoka pande zile za Likoni, Producer Morbiz wa ThunderSounds Records. Mziki huu wao mzuri unahitaji support yako na utaweza kuupata >> HAPA  

Baada Ya Kulilia Wasanii Walipwe, Benso Anakuja Na Hii Akiwa Na Kigoto

Image
Wimbo wake wa NILIPE ni kwa niaba ya wanasaa kulilia malipo yao.Si kwa makampuni iyanayokusanya hati za wanasanaa tu, bali hata pia kwa mashabiki, event organisers, managers wanao, manage wasanii na wote wanao stahili kulipa wasanii kwa njia moja au nyingine. Ni takriban tu mwezi mmoja baada ya kuachia wimbo huo, PRISK ( Performers' Rights Society of Kenya ) ilitangaza ya kwamba itagawanya Milioni Kshs28 kwa wasanii na waigizaji ikiwa ni malipo ya hati zilizokusanywa kufikia Disemba31,2015 . Pengine huo ndio msukumo wa wimbo huo ulipofika, BENSO anajipanga kuachia wimbo na video mpya mwishoni mwa wiki hii. Project hio ambayo amewashirikisha Kigoto na GeeGee nakuandaliwa na Producer BEATSBOY inaitwa KARIBUMOMBASA . Wimbo ambao unaongelea uzuri wa mji wa Mombasa na haswaa kua kivutio cha utalii. Anachoongelea zaidi katika wimbo huo mpya ni mandhari mazu