Celebrity couple hii, wote wakiwa ni wakali wa sauti wamekuja na remix ya wimbo bora wa R&B katika tuzo za KTMA 2015 wa Jux- SISIKII. BONYEZA HAPA KUUSKILIZA
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment