Kutoka kwaproducer Cedo wa Pacho Entertainment, hii ni mpya kali ya mkongwe wa mziki wa pwani Nyota Ndogo akiwa amemshirikisha rapper wa P-Unit, Frasha.
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment