Baada ya kimya kirefu katika mziki, msanii mkongwe Wahu amevunja ukimya huo na kuja na ngoma hii mpya aliyomshirikisha Moti Ice , ambaye Wahu anasema anaa amani kubwa sana katika talanta yake.
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment