Ile video iliyokua ikisubiriwa kwa hamu sana imedondoshwa.
Video hii ilifanyiwa Africa Kusini na director gwiji Godfather. Gharama zote za video hii zilismamiwa na Diamond Platinumz
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment