Ile video iliyokua ikisubiriwa kwa hamu sana imedondoshwa.
Video hii ilifanyiwa Africa Kusini na director gwiji Godfather. Gharama zote za video hii zilismamiwa na Diamond Platinumz
Mtaa Kwa Mtaa- Country Boy akimshirikisha GNAKO ni moja kati ya track za hiphop ambazo zili,hit sana mwaka jana. Hii hapa ni remix ya hit hio ikiwa mara hii Stamina, ChidiBend na Climax Bibo wameingia mzigoni. DOWNLOAD/LISTEN HERE
Comments
Post a Comment