GBT'z Kutoka Malindi City....walmekua kimya sana lakini wameamua kuvunja ukimya wao na hii mpya mpya iliyotayarishwa na AMZ WA LEO, SQ RECORDS. SKILIZA / DOWNLOAD HAPA
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment