Baada ya kushirikishwa katika nyimbo nyingi katika siku za hivi karibuni, Rich Mavoko hatimaye ameachia hii yake mpya kwa jina NAIMANI. Bonyeza Hapa K,skiliza/ku,Download
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment