Vijana wanaoteja anga za mziki na ambao bado video yao ya Jirani waliyomshirikisha Susumila inatamba, wamekuja tena na video mpya ya wimbo wao #NAHISI_UCHUNGU.
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment