Gwiji wa mtindo wa mziki wa taarab, Mzee Yusuf amemshirikisha mrembo wa bongofleva, Vanessa Mdee aka V Money katika hii video kali inaoitwa Mashallah iliyootayarishwa na Q.S J MHONDA.
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment