Gwiji wa mtindo wa mziki wa taarab, Mzee Yusuf amemshirikisha mrembo wa bongofleva, Vanessa Mdee aka V Money katika hii video kali inaoitwa Mashallah iliyootayarishwa na Q.S J MHONDA.
Mtaa Kwa Mtaa- Country Boy akimshirikisha GNAKO ni moja kati ya track za hiphop ambazo zili,hit sana mwaka jana. Hii hapa ni remix ya hit hio ikiwa mara hii Stamina, ChidiBend na Climax Bibo wameingia mzigoni. DOWNLOAD/LISTEN HERE
Comments
Post a Comment