Bonge moja la Colabo kutoka kwa DiamondPlatnumz akiwa ameshirikiana na AKA kutoka Afrika Kusini. Ni track ambayo ilitayarishwa na producer mkubwa kutoka Tanzania, Tuddy Thomas. DOWNLOAD / LISTEN HERE
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment