Kutoka kwa Album yake ya pili ambayo inaitwa CHAMPAGNE huu ni wimbo wa 12 toka aanze mziki mwaka wa 2007. Kamata Champagne ni track ya kujirusha ambayo ilitayarishwa na Producer Akeem, Stubborn Records, Mtwapa.
Akiachia track hii, Queen Renee alisema Ijumaa hii anaelekea Uswizi alafu aende Ujerumani wikendi hii kwa madhumuni ya kuend ku,perform katika tamasha la Kenya Culture & Fashiona Show. LISTEN / DOWNLOAD HERE
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment