Kutoka kwa Album yake ya pili ambayo inaitwa CHAMPAGNE huu ni wimbo wa 12 toka aanze mziki mwaka wa 2007. Kamata Champagne ni track ya kujirusha ambayo ilitayarishwa na Producer Akeem, Stubborn Records, Mtwapa.
Akiachia track hii, Queen Renee alisema Ijumaa hii anaelekea Uswizi alafu aende Ujerumani wikendi hii kwa madhumuni ya kuend ku,perform katika tamasha la Kenya Culture & Fashiona Show. LISTEN / DOWNLOAD HERE
Mtaa Kwa Mtaa- Country Boy akimshirikisha GNAKO ni moja kati ya track za hiphop ambazo zili,hit sana mwaka jana. Hii hapa ni remix ya hit hio ikiwa mara hii Stamina, ChidiBend na Climax Bibo wameingia mzigoni. DOWNLOAD/LISTEN HERE
Comments
Post a Comment