Makundi mawili yanayotamba kimziki mziki hapa Afrika, SAUTISOL kutoka hapa nyumbani Kenya na MI CASA kutoka Afrika Kusini wameangusha video mpya wa wimbo TULALE FOFOFO.
Rapper mwenye umri mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 14 katika mziki wa Tanzania, Dogo Dee ameshirikisha mwimbaji mwenye sauti na utunzi, Baraka Da Prince katika kipini hiki kipya kwa jina Wabana Rizki CLICK HERE TO DOWNLOAD/LISTEN
Comments
Post a Comment