Susumila Ampoteza Babake
'Mzee ametuacha asubui ya leo. Bado tunaendelea na mipango ya mazishi lakini kuna uwezekano mkubwa ya kwamba tutampumzisha Jumamosi hii ya tarehe 24 nyumbani Chumani. ' Susumila amesema.
Tunawapa pole familia ya marehemu Mzee Kombo, Mungu awajaalie wepesi katika wakati huu mgumu na ampumzishe mwenda zake kwa amani.


Comments
Post a Comment