Otile Brown Apigwa Marufuku Kutumia Nyimbo Zake

Siku moja tu baada ya kutangaza kujitoa katika management ya DreamLand Music, management hio imetoa maamuzi yao ambayo yanaonekana kuwa pigo kubwa sana kwa msanii huyo.
Kupitia mtandao wa kijamii,aliyekua manager wa Otile Brown, Dr Eddie ametangaza ya kwamba  nyimbo 10 aliokua amefanya Otile Brown ni mali ya Dreamland Music na ni marufuku kwa msanii huyo kuzitumia mahali popote kibiashara kwa sababu msanii huyo hahusiani tena na management hio.
Kauli na maamuzi hayo ni pigo kwa msanii huyo kwani hio inamaanisha ya kwamba kufikia sasa msanii huyo hana wimbo au video aambayo anaweza kufanya kazi nayo hivyo basi kumaanisha ya kwamba msaanii huyo atakua anaaanza upya kabisa. 

Comments

Popular posts from this blog

ThrowBackTrack.... MACHUNGU - Daddy Sele